Header Ads

Headline
recent

Singano agonga mwamba Morocco



KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC Ramadhani, Singano amerejea Dar es Salaam kimyakimya baada ya kudaiwa kushindwa kufanya vizuri katika majaribio yake ya kucheza soka la kulipwa huko nchini Morocco.

Inadaiwa kuwa Singano alitaka kusajiliwa na timu ya Difaa Al Jadid ambayo hivi karibuni imemsajili Msuva lakini zoezi hilo limeshindika baada ya kutolizishwa na kiwango chake.

No comments:

Powered by Blogger.