Header Ads

Headline
recent

Kwa mpingo hii ya TFF, soka la Tanzania litakuwa kama la Hispania



Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeongeza juhudi za kufundisha makocha wa mpira wa miguu hapa nchini ili idadi ya walimu wa mpira wa miguu wanaopaswa kushiriki kwenye programu za maendeleo ya vijana za mikoa. 

Hii ni katika kukidhi malengo ya TFF katika kusimamia maendeleo ya soka la vijana hapa nchini.

No comments:

Powered by Blogger.