Header Ads

Headline
recent

Kapombe kuanza mazoezi Jumatatu




Beki wa kulia wa Simba Shomary Kapombe ataanza mazoezi Jumatatu baada ya afya yake kuwa safi huku kipa wa timu hiyo, Said Mohamed ‘Nduda’ akirajiwa kuondoka wikiendi hii kwenda India kwa ajili ya upasuaji wa goti.

Manara amesama Kapombe kwa sasa yupo vizuri baada ya kupatiwa matibabu ya tatizo lilokuwa likimsumbua huku Nduda, taratibu za zake za kwenda india zikiwa tayari zimekamilika.

No comments:

Powered by Blogger.