Header Ads

Headline
recent

Azam FC yamkosesha amani Manara



Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu kwa sababu Azam ni timu nzuri.

Amesema licha ya kujipanga vizuri kwa ajili ya mechi hiyo lakini wanaamini mchezo utakua mgumu sana tofauti na ilivyokuwa dhudi ya Rovu Shooting.

No comments:

Powered by Blogger.