Header Ads

Headline
recent

Okwi aiwahi Azam FC



Wachezaji wawili wa Simba, Waganda, Juuko Murshid na mshambuliaji, Emannuel Okwi waliokuwa na kikosi cha timu ya taifa ya Uganda wanatarajiwa kuwasili nchini leo kwa ajili ya mchezo wa Jumamosi dhidi ya Azam.

Simba SC itacheza na Azam Jumamosi  hii kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, jiji Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara.


Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba, Hajji Manara amesema kuwa, Juuko na Okwi watafika leo na moja kwa moja wataungana na wenzao kwa ajili ya maandalizi ya mechi hiyo.



No comments:

Powered by Blogger.