Header Ads

Headline
recent

Malimi Busungu atua Ndanda FC

TIMU ya soka ya Ndanda FC ipo katika hatua za mwisho za kujiunga na Ndanda FC kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Ndanda inamtaka Busungu ambaye msimu uliopita alikuwa akiitumikia Yanga ili aweze kuiongezea nguvu safu ya ushambuliaji ya timu hiyo katika michuano ya Ligi Kuu Bara msimu ujao.
Meneja wa Busungu, Yahya Tostao amesema kuwa, muda wowote kuanzia sasa mshambuliaji huyo atasaini mkataba na Ndanda FC baada ya uongozi wa klabu hiyo kukubaliana na mahitaji yake.


No comments:

Powered by Blogger.