Header Ads

Headline
recent

Tegete asaini mwaka mmoja majimaji FC

TIMU ya soka ya Majimaji  imefanikiwa kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Yanga na timu ya Mwadui, Jerson Tegete.
Majimaji imesajili Tegete kwa mkataba wa mwaka mmoja ili aweze kuiongezea nguvu safu yake ya ushambuliaji katika michuano ya Ligi Kuu Bara msimu ujao inayotarajia kuanza kutimua vumbi Agosti 26, mwaka huu.
Tegete amesema kuwa amefikia uamuzi huo wa kujiunga na Majimaji kwa lengo la kutaka kurudisha makali yake aliyokuwa nayo hapo zamani.
“Nimesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuitumikia Majimaji, hata hivyo nimefikia uamuzi huo ili niweze kuitumia timu hiyo kurudisha kiwango changu nilichokuwa nacho hapo zamani.


No comments:

Powered by Blogger.