Header Ads

Headline
recent

MADOGO WA ENGLAND WAPETA KOMBE LA DUNIA JAPAN



TIMU ya Taifa ya England chini ya miaka 17, imefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Dunia kwa Vijana wa umri huo inayoendelea nchini India baada ya kuiondosha Japan kwa mikwaju ya penalti 5-3.
Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Salt Lake uliopo Kolkata huku watazamaji 53,000 wakishuhudia, ulimalizika dakika 90 timu hizo zikiwa hazijafungana.

No comments:

Powered by Blogger.