Header Ads

Headline
recent

Manchester City VS Liverpool, Hatumwi Mtoto Dukani


Manchester City na Liverpool wataingia dimbani Etihad mapema Jumamosi katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza
Timu zote mbili zimo ndani ya nne bora za kwenye msimamo wa Ligi zikiwa zimejikusanyia alama saba kutoka kwenye mechi zao tatu za mwanzo, ingawa City bado hawajashinda mechi ya nyumbani kwani walilazimishwa sare ya 1-1 na Everton.
Kwa upande wa Liverpool, wameshinda mechi zote za nyumbani - ikiwa ni pamoja na kipigo cha 4-0 walichoipa Arsenal - lakini walipata sare pekee ya 3-3 dhidi ya Watford mechi ya ufunguzi.


No comments:

Powered by Blogger.